Waandishi wa habari a mkoa wa Tanga wamefanya mafunzo ya siku nne kwa ajili ya kujifunza namna ya kutafuta habari mbalimbali kupitia mtandao.Mafunzo hayo yamefadhiliwa na Taasisi ya Misa Tan na kuratibiwa na klabu ta waandishi wa habari mkoa wa Tanga.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni